Swali: Ni ipi hukumu mwanamke akitumia dawa inayokata nifasi au hedhi katika masiku yake?
Jibu: Mwanamke akitumia vidonge au sindano ambapo damu yake ikakatika, basi anatakiwa kuoga na kufanya yale yanayofanywa na wanawake waliowasafi. Hapo swalah na swawm zake vitakuwa ni sahihi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/200)
- Imechapishwa: 24/05/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)