Swali: Ni ipi hukumu mwanamke akitumia dawa inayokata nifasi au hedhi katika masiku yake?
Jibu: Mwanamke akitumia vidonge au sindano ambapo damu yake ikakatika, basi anatakiwa kuoga na kufanya yale yanayofanywa na wanawake waliowasafi. Hapo swalah na swawm zake vitakuwa ni sahihi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/200)
- Imechapishwa: 24/05/2018
Swali: Ni ipi hukumu mwanamke akitumia dawa inayokata nifasi au hedhi katika masiku yake?
Jibu: Mwanamke akitumia vidonge au sindano ambapo damu yake ikakatika, basi anatakiwa kuoga na kufanya yale yanayofanywa na wanawake waliowasafi. Hapo swalah na swawm zake vitakuwa ni sahihi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/200)
Imechapishwa: 24/05/2018
https://firqatunnajia.com/mwanamke-huyu-ni-kama-aliye-msafi/