Kuna mwanamke anayelalamika kwamba baadhi ya wanawake wanaleta watoto wao kwenye darsa. Watoto hawa wanacheza na kuwashawishi wanawake wengine. Haifai kufanya hivo. Mwanamke akija katika darsa, basi haijuzu kwake kuwaleta watoto wake kwa sababu wanawaudhi na kuwashawishi wale wanawake wenye kuhudhuria.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (36)
- Imechapishwa: 05/08/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)