Mwanamke anayetaka kuchinja Udhhiyah kutengeneza nywele zake

Swali: Ni yepi yanayofaa kuhusu nywele kwa mwanamke aliyenuia kuchinja Udhhiyah kwa ajili yake na watu wa nyumbani au kwa ajili ya wazazi wake yanapoingia yale masiku kumi ya Dhul-Hijjah?

Jibu: Inafaa kwake kuchana nywele zake na kuzisafisha. Lakini asizibane. Haidhuru zile nywele zinazodondoka wakati wa kuzichana au kuzisafisha.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/47)
  • Imechapishwa: 07/06/2024