Mwanamke anatia manukato wakati wa kwenda shuleni

699 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu mwalimu mwanamke anayetoka akiwa amejitia manukato na hushuka kutoka kwenye gari moja kwa moja hadi mlangoni mwa shule?

Jibu: Kuacha ni salama zaidi, huenda akamshusha dereva au akawepo mlinzi kwenye mlango wa shule.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 247
  • Imechapishwa: 04/07/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´