Swali: Kuna mwanaume ameoa mke wa pili ambapo mke wa kwanza akaanza kumtukana na kumlaani na kuomba du´aa dhidi yake na kila aliyeunga, aliyehudhuria au kuridhia ndoa hiyo, sawa awe ni ndugu au mtu mwingine. Mwanaume huyu ataamiliane naye vipi akiendelea katika hali hii?
Jibu: Ima awe na uvumilivu kwake mpaka pale ataponyooka ma kutengemaa au amtaliki. Ikiwa hawezi kumvumilia amtaliki ili astarehe naye.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14725
- Imechapishwa: 03/05/2018
Swali: Kuna mwanaume ameoa mke wa pili ambapo mke wa kwanza akaanza kumtukana na kumlaani na kuomba du´aa dhidi yake na kila aliyeunga, aliyehudhuria au kuridhia ndoa hiyo, sawa awe ni ndugu au mtu mwingine. Mwanaume huyu ataamiliane naye vipi akiendelea katika hali hii?
Jibu: Ima awe na uvumilivu kwake mpaka pale ataponyooka ma kutengemaa au amtaliki. Ikiwa hawezi kumvumilia amtaliki ili astarehe naye.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14725
Imechapishwa: 03/05/2018
https://firqatunnajia.com/mwanamke-anamlaani-na-kumtusi-mumewe-baada-ya-kuongeza-mke/