Swali: Nilikuwa nikiswali swalah ya ijumaa kama wanavyoswali wanaume Rak´ah mbili na Rak´ah mbili faradhi. Lakini nimesoma kwenye kipeperushi ya kwamba mwanamke hana swalah ya ijumaa. Je, nimekosea?
Jibu: Umekosea juu ya yaliyopita. Kwa sababu swalah ya ijumaa haisihi kwa mwanamke isipokuwa ikiwa kama atahudhuria pamoja na wanaume. Akihudhuria na akaswali pamoja na wanaume basi swalah yame imesihi hali ya kuwa ni yenye kufuata.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (01/354)
- Imechapishwa: 11/01/2020
Swali: Nilikuwa nikiswali swalah ya ijumaa kama wanavyoswali wanaume Rak´ah mbili na Rak´ah mbili faradhi. Lakini nimesoma kwenye kipeperushi ya kwamba mwanamke hana swalah ya ijumaa. Je, nimekosea?
Jibu: Umekosea juu ya yaliyopita. Kwa sababu swalah ya ijumaa haisihi kwa mwanamke isipokuwa ikiwa kama atahudhuria pamoja na wanaume. Akihudhuria na akaswali pamoja na wanaume basi swalah yame imesihi hali ya kuwa ni yenye kufuata.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (01/354)
Imechapishwa: 11/01/2020
https://firqatunnajia.com/mwanamke-ameswali-ijumaa-kama-wanaume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)