Swali 235: Vipi ikiwa mwanamke atapita mbele ya mwanaume anayeswali huko Makkah?
Jibu: Hata akipita, haidhuru. Salaf wana haki zaidi ya kufuatwa. Ibn-uz-Zubayr alikuwa akiswali bila Sutrah na watu walikuwa wakipita mbele yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 94
- Imechapishwa: 03/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 235: Vipi ikiwa mwanamke atapita mbele ya mwanaume anayeswali huko Makkah?
Jibu: Hata akipita, haidhuru. Salaf wana haki zaidi ya kufuatwa. Ibn-uz-Zubayr alikuwa akiswali bila Sutrah na watu walikuwa wakipita mbele yake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 94
Imechapishwa: 03/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/mwanamke-amepita-mbele-ya-mswaliji-makkah/