Swali: Hajj ya mwaka huu nilivaa barakoa. Nilimuuliza kiongozi wa msafara juu ya hilo ambapo akasema kuwa hakuna neno. Niliporudi nikaambiwa kuwa haijuzu kuivaa. Je, kuna kinachonilazimu hivi sasa?
Jibu: Hakuna kinachokulazimu. Ulivaa barakoa kwenye mdomo kutokamana na vumbi na vyenginevyo. Hakuna neno.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (84) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17577
- Imechapishwa: 28/12/2017
Swali: Hajj ya mwaka huu nilivaa barakoa. Nilimuuliza kiongozi wa msafara juu ya hilo ambapo akasema kuwa hakuna neno. Niliporudi nikaambiwa kuwa haijuzu kuivaa. Je, kuna kinachonilazimu hivi sasa?
Jibu: Hakuna kinachokulazimu. Ulivaa barakoa kwenye mdomo kutokamana na vumbi na vyenginevyo. Hakuna neno.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (84) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17577
Imechapishwa: 28/12/2017
https://firqatunnajia.com/mwanamke-amehiji-na-barakoa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)