Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke akibakwa?
Jibu: Hapati dhambi yoyote. Haya yalitokea zama za ´Umar. ´Umar akapewa khabari hiyo na akauliza juu ya mwanamke huyo ambapo akajibiwa kuwa ni mwanamke mwema. Hivyo akawaamrisha familia yake wamtendee wema.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 256
- Imechapishwa: 02/08/2025
Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke akibakwa?
Jibu: Hapati dhambi yoyote. Haya yalitokea zama za ´Umar. ´Umar akapewa khabari hiyo na akauliza juu ya mwanamke huyo ambapo akajibiwa kuwa ni mwanamke mwema. Hivyo akawaamrisha familia yake wamtendee wema.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 256
Imechapishwa: 02/08/2025
https://firqatunnajia.com/mwanamke-aliyebakwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket