Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke akibakwa?
Jibu: Hapati dhambi yoyote. Haya yalitokea zama za ´Umar. ´Umar akapewa khabari hiyo na akauliza juu ya mwanamke huyo ambapo akajibiwa kuwa ni mwanamke mwema. Hivyo akawaamrisha familia yake wamtendee wema.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 256
- Imechapishwa: 02/08/2025
Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke akibakwa?
Jibu: Hapati dhambi yoyote. Haya yalitokea zama za ´Umar. ´Umar akapewa khabari hiyo na akauliza juu ya mwanamke huyo ambapo akajibiwa kuwa ni mwanamke mwema. Hivyo akawaamrisha familia yake wamtendee wema.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 256
Imechapishwa: 02/08/2025
https://firqatunnajia.com/mwanamke-aliyebakwa/