189- Baba yangu amenihadithia: ´Umar bin ´Aliy al-Muqaddamiy amenihadithia: Nilimsikia Ismaa´iyl bin Hammaad akieleza kwamba baba yake aliulizwa juu ya mwanamke aliye pekee ambaye kafariki kati ya wanamme wengi. Akajibu:
“Afanyiwe Tayammum. Ambaye atabeba jukumu hilo avishe mkono wake kitambara, apige udongoni na amfanyie Tayammum.”
Nimemsikia baba yangu akisema:
“Nami naonelea hali kadhalika.”
- Muhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/144)
- Imechapishwa: 26/03/2021
189- Baba yangu amenihadithia: ´Umar bin ´Aliy al-Muqaddamiy amenihadithia: Nilimsikia Ismaa´iyl bin Hammaad akieleza kwamba baba yake aliulizwa juu ya mwanamke aliye pekee ambaye kafariki kati ya wanamme wengi. Akajibu:
“Afanyiwe Tayammum. Ambaye atabeba jukumu hilo avishe mkono wake kitambara, apige udongoni na amfanyie Tayammum.”
Nimemsikia baba yangu akisema:
“Nami naonelea hali kadhalika.”
Muhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/144)
Imechapishwa: 26/03/2021
https://firqatunnajia.com/mwanamke-aliye-pekee-amefariki-kati-ya-wanamme-wengi/