189- Baba yangu amenihadithia: ´Umar bin ´Aliy al-Muqaddamiy amenihadithia: Nilimsikia Ismaa´iyl bin Hammaad akieleza kwamba baba yake aliulizwa juu ya mwanamke aliye pekee ambaye kafariki kati ya wanamme wengi. Akajibu:
“Afanyiwe Tayammum. Ambaye atabeba jukumu hilo avishe mkono wake kitambara, apige udongoni na amfanyie Tayammum.”
Nimemsikia baba yangu akisema:
“Nami naonelea hali kadhalika.”
- Mhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/144)
- Imechapishwa: 26/03/2021
189- Baba yangu amenihadithia: ´Umar bin ´Aliy al-Muqaddamiy amenihadithia: Nilimsikia Ismaa´iyl bin Hammaad akieleza kwamba baba yake aliulizwa juu ya mwanamke aliye pekee ambaye kafariki kati ya wanamme wengi. Akajibu:
“Afanyiwe Tayammum. Ambaye atabeba jukumu hilo avishe mkono wake kitambara, apige udongoni na amfanyie Tayammum.”
Nimemsikia baba yangu akisema:
“Nami naonelea hali kadhalika.”
Mhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/144)
Imechapishwa: 26/03/2021
https://firqatunnajia.com/mwanamke-aliye-pekee-amefariki-kati-ya-wanamme-wengi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)