Swali: Mwanamke aliye katika eda amekatazwa kujitia manukato na kujipamba. Je, amekatazwa vilevile kuoga?
Jibu: Hapana, hajakatazwa kuoga na kujisafisha. Amekatazwa kujitia manukato na kujipamba.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%2019-03-1438H.mp3%2001.mp3
- Imechapishwa: 09/10/2017
Swali: Mwanamke aliye katika eda amekatazwa kujitia manukato na kujipamba. Je, amekatazwa vilevile kuoga?
Jibu: Hapana, hajakatazwa kuoga na kujisafisha. Amekatazwa kujitia manukato na kujipamba.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%2019-03-1438H.mp3%2001.mp3
Imechapishwa: 09/10/2017
https://firqatunnajia.com/mwanamke-aliye-katika-eda-hafai-kuoga/