Swali: Kuhusiana na suala la vitabu vinavyogawiwa. Je, hii inahesabiwa kuwa ni kuomba kunakosimangwa?
Jibu: Hapana, ikiwa vitabu vinagawiwa, basi anaweza kuomba sehemu yake kutoka kwa taasisi inayogawa, khaswa ikiwa ni mwanafunzi wa elimu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28826/حكم-سوال-طالب-العلم-الكتب-المعدة-للتوزيع
- Imechapishwa: 27/04/2025
Swali: Kuhusiana na suala la vitabu vinavyogawiwa. Je, hii inahesabiwa kuwa ni kuomba kunakosimangwa?
Jibu: Hapana, ikiwa vitabu vinagawiwa, basi anaweza kuomba sehemu yake kutoka kwa taasisi inayogawa, khaswa ikiwa ni mwanafunzi wa elimu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28826/حكم-سوال-طالب-العلم-الكتب-المعدة-للتوزيع
Imechapishwa: 27/04/2025
https://firqatunnajia.com/mwanafunzi-kuomba-vitabu-vinavyogawiwa-bure/