Swali: Je, Ibn Hajar na an-Nawawiy ni miongoni mwa Ash’ariyyah?

Jibu: Kutegemea kupindisha kwao maana. Kupindisha maana kunakaripiwa. Mtu akiona jambo hilo kwa mwanachuoni asimfuate. Kila mwanachuoni anayo makosa. Mwanafunzi anatakiwa kufuata haki na dalili. Asifuate makosa ya wanazuoni.

Swali: Baadhi ya watu wanaona kuwa ni sharti unapomtaja Ibn Hajar na an-Nawawiy basi unatakiwa kusema baadhi ya majina yao ”Ash´ariy” ili usije kuwapotosha watu. Ni upi usahihi wa jambo hili?

Jibu: Halina msingi.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25224/ما-كيفية-التعامل-مع-بعض-اخطاء-العلماء-في-العقيدة
  • Imechapishwa: 19/02/2025