Swali: Ni jambo la aula zaidi mwanafunzi anayeanza ajifunze elimu ya misingi ya kuwaraddi wenye kwenda kinyume? Unamnasihi nini mwanafunzi anayeanza juu ya Ruduud hizi?
Jibu: Mwanafunzi anayeanza aanze kusoma vitabu vidogo vidogo kwa wanachuoni. Hivyo ndio funguo za elimu. Avisome kwa wanachuoni ambao watambainishia navyo na kumuwekea wazi. Aende hatua kwa hatua. Asikimbilie katika vitu vigumu na vitu ambavyo mwanzoni hawezi kuvifahamu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (14) http://alfawzan.af.org.sa/node/2057
- Imechapishwa: 24/04/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)