Swali: Je, inajuzu kumwambia mwanachuoni kwamba Allaah amekufanya uwe kimbilio la waislamu na hifadhi ya waumini?
Jibu: Maana yake ni sahihi. Maana yake ni kuwa ni kimbilio kwao katika kupata haki zao kupitia mahakama za Kishari´ah au kupitia utawala, ambapo watu wanamkimbilia kwake ili awasaidie kupata haki zao. Hii ni maana sahihi. Ni du´aa njema kwa mtawala kwamba Allaah amfanye awe mwenye kufanikiwa na Allaah amsaidie katika kutekeleza mahitaji ya waislamu na kwamba pale wanapomkimbilia awatimizie wanayoyataka katika kusimamisha adhabu za Kishari´ah, kuondoa dhuluma, kurudisha haki na mambo mengine kama hayo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31396/ما-حكم-قول-قد-اقامكم-الله-مفزعا-للمسلمين
- Imechapishwa: 17/10/2025
Swali: Je, inajuzu kumwambia mwanachuoni kwamba Allaah amekufanya uwe kimbilio la waislamu na hifadhi ya waumini?
Jibu: Maana yake ni sahihi. Maana yake ni kuwa ni kimbilio kwao katika kupata haki zao kupitia mahakama za Kishari´ah au kupitia utawala, ambapo watu wanamkimbilia kwake ili awasaidie kupata haki zao. Hii ni maana sahihi. Ni du´aa njema kwa mtawala kwamba Allaah amfanye awe mwenye kufanikiwa na Allaah amsaidie katika kutekeleza mahitaji ya waislamu na kwamba pale wanapomkimbilia awatimizie wanayoyataka katika kusimamisha adhabu za Kishari´ah, kuondoa dhuluma, kurudisha haki na mambo mengine kama hayo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31396/ما-حكم-قول-قد-اقامكم-الله-مفزعا-للمسلمين
Imechapishwa: 17/10/2025
https://firqatunnajia.com/mwanachuoni-ambaye-ni-kimbilio-la-waislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
