Swali: Kwenye Madrasah yetu kuna mwalimu amesema kuwa Taabi´uun na waliokuja baada ya Taabi´uun ni wajuzi zaidi kuliko Maswahabah kwa kuwa Maswahabah wengi Hadiyth zilifichikana kwao na Taabi´uun ndio waliozikusanya. Ni ipi hukumu ya msemo huu na ni yapi maelekezo yako juu ya hili?
Jibu: Huyu ni mjinga. Mwalimu huyu ni mjinga. Apuuzwe. Huyu anazungumza kwa ujinga. Hazungumzi kwa elimu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_13.mp3
- Imechapishwa: 18/06/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket