Swali: Mimi nafunza katika masomo ya msingi na tuko na mamia ya wanafunzi ambao bado wadogo. Baadhi yao wanaweza kuwa wazuri. Je, nikiwaangalia wakati wa kuwafafanulia naingia katika wale waliotajwa na Ibn-ul-Qayyim?
Jibu: Ndio, ukiwaangalia kwa kuwatamani yanakugusa. Lakini ukiwaangalia kwa sababu tu unataka wazinduke na wazingatie somo ni sawa. Huku ni kutazama kwa ajili ya kutaka wazinduke.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (74) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-25-01-1439H-01.mp3
- Imechapishwa: 11/11/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)