Swali: Binamu yangu anafanya kazi katika benki ya ribaa. Ameapa kwa Allaah ya kwamba hatokula wala kunywa nisipoenda katika mwaliko wake. Je, niitikie mwaliko wake na kutekeleza kiapo chake?
Jibu: Ikiwa unajua kuwa chakula chake hichi kinatokamana na pesa ya ribaa hii, usile katika chakula hicho hata kama ameapa kwa Allaah. Ikiwa hujui msingi ni kwamba ni halali.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (71) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah26-07-1438h%20-%20Copy.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2017
Swali: Binamu yangu anafanya kazi katika benki ya ribaa. Ameapa kwa Allaah ya kwamba hatokula wala kunywa nisipoenda katika mwaliko wake. Je, niitikie mwaliko wake na kutekeleza kiapo chake?
Jibu: Ikiwa unajua kuwa chakula chake hichi kinatokamana na pesa ya ribaa hii, usile katika chakula hicho hata kama ameapa kwa Allaah. Ikiwa hujui msingi ni kwamba ni halali.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (71) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah26-07-1438h%20-%20Copy.mp3
Imechapishwa: 20/08/2017
https://firqatunnajia.com/mwaliko-wa-anayefanya-kazi-benki/