Swali: Binamu yangu anafanya kazi katika benki ya ribaa. Ameapa kwa Allaah ya kwamba hatokula wala kunywa nisipoenda katika mwaliko wake. Je, niitikie mwaliko wake na kutekeleza kiapo chake?
Jibu: Ikiwa unajua kuwa chakula chake hichi kinatokamana na pesa ya ribaa hii, usile katika chakula hicho hata kama ameapa kwa Allaah. Ikiwa hujui msingi ni kwamba ni halali.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (71) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah26-07-1438h%20-%20Copy.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2017
Swali: Binamu yangu anafanya kazi katika benki ya ribaa. Ameapa kwa Allaah ya kwamba hatokula wala kunywa nisipoenda katika mwaliko wake. Je, niitikie mwaliko wake na kutekeleza kiapo chake?
Jibu: Ikiwa unajua kuwa chakula chake hichi kinatokamana na pesa ya ribaa hii, usile katika chakula hicho hata kama ameapa kwa Allaah. Ikiwa hujui msingi ni kwamba ni halali.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (71) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah26-07-1438h%20-%20Copy.mp3
Imechapishwa: 20/08/2017
https://firqatunnajia.com/mwaliko-wa-anayefanya-kazi-benki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
