Swali: Wale wenye kusema kuwa imani haizidi na wala haipungui wanahesabika kuwa ni katika Ahl-us-Sunnah?
Jibu: Hapana, wanaenda kinyume na madhehebu ya Ahl-us-Sunnah. Wanaitwa “Murji-´ah Ahl-us-Sunnah”. Ni katika Ahl-us-Sunnah lakini wana chembe chembe za Irjaa´.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2025-12-1435.mp3
- Imechapishwa: 16/06/2015
Swali: Wale wenye kusema kuwa imani haizidi na wala haipungui wanahesabika kuwa ni katika Ahl-us-Sunnah?
Jibu: Hapana, wanaenda kinyume na madhehebu ya Ahl-us-Sunnah. Wanaitwa “Murji-´ah Ahl-us-Sunnah”. Ni katika Ahl-us-Sunnah lakini wana chembe chembe za Irjaa´.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2025-12-1435.mp3
Imechapishwa: 16/06/2015
https://firqatunnajia.com/murji-ah-lakini-bado-ni-ahl-us-sunnah__trashed/