Swali: Mwanamke wa Ahl-us-Sunnah ameolewa na mume asiyependa Sunnah, anawachukia Ahl-us-Sunnah na kusema siku zote wale waliomuua ´Uthmaan bin ´Affaan (Radhiya Allaahu ´anh) walikuwa na haki[1]. Unamnasihi nini?
Jibu: Ni katika Khawaarij na pengine Shiy´ah. Ima ni Khaarijiy au Shiy´iy. Ni lazima kwake kuomba kutengana ikiwa hatubu kwa Allaah (´Azza wa Jall).
[1] Sayyid Qutwub amesema:
“Hatimaye kukajitokeza mapinduzi kwa ´Uthmaan. Haki na batili vikachanganyika, mazuri na mabaya vikachanganya. Lakini yule mwenye kuyaangalia mambo kwa mtazamo wa Kiislamu na kuyajua mambo kwa roho ya Kiislamu ni lazima aone kuwa mapinduzi yalikuwa ni kutokamana na roho ya Kiislamu.” (al-´Adaalah al-Ijtimaa´iyyah, uk. 160)
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20%20-%204%20-%201%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)