Swali: Je, inajuzu kwa mume na mke kuoshana bafuni wakiwa wote wawili uchi?

Jibu: Hakuna neno.

  • Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/montqa–1431-03-06.mp3
  • Imechapishwa: 20/09/2020