Swali: Je, inafaa kwa mwanaume kumtaliki mke wake katika twahara ambayo amemjamii?
Jibu: Hapana, haijuzu ikiwa sio katika wale wanawake waliokoma hedhi na wanajiwa na ada ya mwezi. Lakini akiwa amekwishakoma hedhi au mjamzito basi hapana vibaya kumtaliki katika twahara yake. Ama akiwa anapata ada na anachelea kushika ujauzito basi asimtaliki mpaka ajue kwanza kama ana mimba au anapata hedhi kisha akasafika. Baada ya hapo ndio amtaliki kabla ya kumwingilia. Hivi ndivo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alivyomwamrisha Ibn ´Umar.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21604/هل-يجوز-للرجل-الطلاق-في-طهر-جامع-فيه
- Imechapishwa: 28/08/2022
Swali: Je, inafaa kwa mwanaume kumtaliki mke wake katika twahara ambayo amemjamii?
Jibu: Hapana, haijuzu ikiwa sio katika wale wanawake waliokoma hedhi na wanajiwa na ada ya mwezi. Lakini akiwa amekwishakoma hedhi au mjamzito basi hapana vibaya kumtaliki katika twahara yake. Ama akiwa anapata ada na anachelea kushika ujauzito basi asimtaliki mpaka ajue kwanza kama ana mimba au anapata hedhi kisha akasafika. Baada ya hapo ndio amtaliki kabla ya kumwingilia. Hivi ndivo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alivyomwamrisha Ibn ´Umar.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21604/هل-يجوز-للرجل-الطلاق-في-طهر-جامع-فيه
Imechapishwa: 28/08/2022
https://firqatunnajia.com/mume-kumtaliki-mke-wake-katika-twahara-aliyomjamii/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket