Swali: Je, inafaa kwa mtu ambaye yuko katika Ihraam kujifunika kwa blanketi au kitu kingine mfano wake kutokana na baridi kali?
Jibu: Ndio, ajifunike kwa blanketi haina neno. Hata hivyo asifunike kichwa chake. Afunike mwili wake kwa blanketi na kichwa akiache wazi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21601/حكم-التغطية-من-البرد-للمحرم
- Imechapishwa: 28/08/2022
Swali: Je, inafaa kwa mtu ambaye yuko katika Ihraam kujifunika kwa blanketi au kitu kingine mfano wake kutokana na baridi kali?
Jibu: Ndio, ajifunike kwa blanketi haina neno. Hata hivyo asifunike kichwa chake. Afunike mwili wake kwa blanketi na kichwa akiache wazi.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21601/حكم-التغطية-من-البرد-للمحرم
Imechapishwa: 28/08/2022
https://firqatunnajia.com/muhrim-kujifunika-mwili-kwa-sababu-ya-baridi-kali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)