Swali 552: Je, mume anayemkubalia mke kujivua anayo haki ya kuchukua zaidi ya mahari?
Jibu: Kuna tofauti ya maoni, lakini maoni yaliyo karibu zaidi ni kuwa hairuhusiwi ikiwa kosa ni kutoka kwake yeye.
Swali 553: Nilimuuliza tena kama mume anayo haki ya kumkubalia mke anayejivua kuchukua zaidi ya mahari?
Jibu: Sahihi ni kuwa inajuzu, lakini lililo bora ni kuacha kufanya hivo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 189
- Imechapishwa: 11/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 552: Je, mume anayemkubalia mke kujivua anayo haki ya kuchukua zaidi ya mahari?
Jibu: Kuna tofauti ya maoni, lakini maoni yaliyo karibu zaidi ni kuwa hairuhusiwi ikiwa kosa ni kutoka kwake yeye.
Swali 553: Nilimuuliza tena kama mume anayo haki ya kumkubalia mke anayejivua kuchukua zaidi ya mahari?
Jibu: Sahihi ni kuwa inajuzu, lakini lililo bora ni kuacha kufanya hivo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 189
Imechapishwa: 11/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/mume-anataka-kutoka-kwa-mke-zaidi-ya-mahari/