Swali: Mwanaume alimjamii mke wake mchana wa Ramadhaan na alikuwa ni mjinga, lakini alipofariki akaijua hukumu baada ya mkewe kufa. Je, amfungie au atoe kafara?
Jibu: Allaah amjaze kheri iwapo atamtolea kafara. Atawalisha chakula masikini sitini na Allaah atamjaza kheri. Na akifunga ni sawa pia Allaah atamjaza kheri. Yote ni mazuri.
Swali: Je, afunge na kutoa kafara pia?
Jibu: Kinachomlazimu ni kufunga kama anaweza. Vinginevyo alishe chakula masikini sitini.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24649/حكم-من-جامع-في-رمضان-جاهلا-وعلم-بالحكم-بعد-وفاة-زوجته
- Imechapishwa: 21/11/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)