Swali: Muislamu ambaye ni mtenda madhambi atapokea daftari lake kwa mkono wa kushoto au wa kulia?
Jibu: Muislamu ambaye sio kafiri atapokea daftari lake kwa mkono wa kulia. Lakini hata kama atapokea daftari lake kwa mkono wa kulia anaweza kuadhibiwa kwa sababu ya madhambi yake. Ikibidi hivyo hatodumishwa Motoni milele kama atavyofanywa kafiri.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_10.mp3
- Imechapishwa: 01/06/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)