Swali: Kuna mtu anafanyakazi kama mpishi katika nchi ya kikafiri. Anapika nyama ya nguruwe na nyama nyinginezo. Je, inajuzu kwa muislamu huyu kuendelea kufanyakazi hii?
Jibu: Hapana, haijuzu akaendelea na kazi hii. Apike nguruwe? Anawasaidia katika batili na batili yao na kuwatumikia.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (34) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathulmajid-17-11-1436-01.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Kuna mtu anafanyakazi kama mpishi katika nchi ya kikafiri. Anapika nyama ya nguruwe na nyama nyinginezo. Je, inajuzu kwa muislamu huyu kuendelea kufanyakazi hii?
Jibu: Hapana, haijuzu akaendelea na kazi hii. Apike nguruwe? Anawasaidia katika batili na batili yao na kuwatumikia.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (34) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathulmajid-17-11-1436-01.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/muislamu-mpishi-anafanyakazi-ya-nguruwe/