Swali: Vipi kuhusu kunywa masalia ya makafiri?
Jibu: Halidhuru, kama vile Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alivyotawadha kwa maji kutoka kwenye kiriba cha mwanamke mshirikina. Haidhuru ukinywa kutoka kwenye maji walionayo muda wa kuwa hujui kutoka kwao isipokuwa kheri tu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24706/هل-يجوز-شرب-سور-الكافر
- Imechapishwa: 29/11/2024
Swali: Vipi kuhusu kunywa masalia ya makafiri?
Jibu: Halidhuru, kama vile Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alivyotawadha kwa maji kutoka kwenye kiriba cha mwanamke mshirikina. Haidhuru ukinywa kutoka kwenye maji walionayo muda wa kuwa hujui kutoka kwao isipokuwa kheri tu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24706/هل-يجوز-شرب-سور-الكافر
Imechapishwa: 29/11/2024
https://firqatunnajia.com/muislamu-kunywa-masalia-ya-maji-ya-makafiri/