321 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu kubeba jeneza la kafiri.
Jibu: Ikiwa ni kwa haja – kama kuwapunguzia watu taabu – kama katika Hadiyth ya kumzika Abu Twaalib ambapo ´Aliy (Radhiya Allaahu ´anh) alimzika, basi hapana shida. Lakini kubeba kwa ajili ya kumtukuza, haifai.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 112
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket