321 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu kubeba jeneza la kafiri.
Jibu: Ikiwa ni kwa haja – kama kuwapunguzia watu taabu – kama katika Hadiyth ya kumzika Abu Twaalib ambapo ´Aliy (Radhiya Allaahu ´anh) alimzika, basi hapana shida. Lakini kubeba kwa ajili ya kumtukuza, haifai.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 112
321 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu kubeba jeneza la kafiri.
Jibu: Ikiwa ni kwa haja – kama kuwapunguzia watu taabu – kama katika Hadiyth ya kumzika Abu Twaalib ambapo ´Aliy (Radhiya Allaahu ´anh) alimzika, basi hapana shida. Lakini kubeba kwa ajili ya kumtukuza, haifai.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 112
https://firqatunnajia.com/muislamu-kubeba-jeneza-la-kafiri/