Swali: Ikiwa muadhini ataadhini kabla ya kuingia wakati – je, arudie adhaana?
Jibu: Ndiyo, arudie adhaana. Isipokuwa kama kuna waadhini wengine karibu naye… basi katika hali hiyo jambo ni lenye wasaa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27025/هل-يعيد-الموذن-لو-ثبت-انه-اذن-قبل-الوقت
- Imechapishwa: 21/03/2025
Swali: Ikiwa muadhini ataadhini kabla ya kuingia wakati – je, arudie adhaana?
Jibu: Ndiyo, arudie adhaana. Isipokuwa kama kuna waadhini wengine karibu naye… basi katika hali hiyo jambo ni lenye wasaa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27025/هل-يعيد-الموذن-لو-ثبت-انه-اذن-قبل-الوقت
Imechapishwa: 21/03/2025
https://firqatunnajia.com/muadhini-ameadhini-kabla-ya-kuingia-wakati/