Swali: Ikiwa muadhini ataadhini kabla ya kuingia wakati – je, arudie adhaana?
Jibu: Ndiyo, arudie adhaana. Isipokuwa kama kuna waadhini wengine karibu naye… basi katika hali hiyo jambo ni lenye wasaa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27025/هل-يعيد-الموذن-لو-ثبت-انه-اذن-قبل-الوقت
- Imechapishwa: 21/03/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)