Swali: Ni lipi jibu kwa mwenye kusema kwamba inajuzu kwa mwanamke kusafiri pasina kuwa na Mahram ikiwa ni safari fupi na kunaaminika usalama?
Jibu: Jibu ni maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Sio halali…”
Anasema sio halali. Mtume anasema kuwa sio halali. Vipi sisi tuseme kuwa ni halali?
“Sio halali kwa mwanamke anayemwamini Allaah na Siku ya Mwisho kusafiri isipokuwa awe pamoja naye Mahram.”
Hakuna nafasi ya maneno ya yeyote baada ya maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (41) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-01-27.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Ni lipi jibu kwa mwenye kusema kwamba inajuzu kwa mwanamke kusafiri pasina kuwa na Mahram ikiwa ni safari fupi na kunaaminika usalama?
Jibu: Jibu ni maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Sio halali…”
Anasema sio halali. Mtume anasema kuwa sio halali. Vipi sisi tuseme kuwa ni halali?
“Sio halali kwa mwanamke anayemwamini Allaah na Siku ya Mwisho kusafiri isipokuwa awe pamoja naye Mahram.”
Hakuna nafasi ya maneno ya yeyote baada ya maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (41) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-01-27.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/mtume-amesema-kuwa-sio-halali-vipi-wewe-useme-kuwa-ni-halali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)