Swali: Ni ipi hukumu kwa ambaye anapinga kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakukingwa na kukosea?
Jibu: Akiwa ni mjinga au ni mfuata kichwa mchunga ni mpotevu. Ama akiwa ni mwenye kukusudia ni kafiri. Kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekingwa na kukosea. Amekingwa kwa hali yoyote hata kama atapitikiwa na baadhi ya mambo yenye kutokamana na Ijtihaad zake ambazo mwishoni amekingwa na kukosea (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Bi maana haachwi kwenye kosa kwa hali yoyote ile.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
- Imechapishwa: 31/01/2017
Swali: Ni ipi hukumu kwa ambaye anapinga kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakukingwa na kukosea?
Jibu: Akiwa ni mjinga au ni mfuata kichwa mchunga ni mpotevu. Ama akiwa ni mwenye kukusudia ni kafiri. Kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekingwa na kukosea. Amekingwa kwa hali yoyote hata kama atapitikiwa na baadhi ya mambo yenye kutokamana na Ijtihaad zake ambazo mwishoni amekingwa na kukosea (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Bi maana haachwi kwenye kosa kwa hali yoyote ile.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
Imechapishwa: 31/01/2017
https://firqatunnajia.com/mtume-amekingwa-kwa-hali-yoyote/