185- Baba yangu amesema:
“Amenieleza kwamba ikiwa mtu ambaye analazimika kutoa kafara kwa ajili ya kuvunja kiapo chake na akakosa chakula cha kuwapa masikini na hivyo akawa amefunga siku siku moja au mbili; basi anatakiwa kuendelea na funga yake hata kama atapata chakula wakati amefunga. Vivyo hivyo inahusiana na mtu ambaye amemfananisha mke wake na mgongo wa mama yake na muuaji. az-Zuhriy amesema:
“Kwa yule ambaye ameianza kafara yake kwa kufunga na baadaye akapata chakula Sunnah ni yeye kuendelea kufunga.”
- Muhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/140-141)
- Imechapishwa: 26/03/2021
185- Baba yangu amesema:
“Amenieleza kwamba ikiwa mtu ambaye analazimika kutoa kafara kwa ajili ya kuvunja kiapo chake na akakosa chakula cha kuwapa masikini na hivyo akawa amefunga siku siku moja au mbili; basi anatakiwa kuendelea na funga yake hata kama atapata chakula wakati amefunga. Vivyo hivyo inahusiana na mtu ambaye amemfananisha mke wake na mgongo wa mama yake na muuaji. az-Zuhriy amesema:
“Kwa yule ambaye ameianza kafara yake kwa kufunga na baadaye akapata chakula Sunnah ni yeye kuendelea kufunga.”
Muhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/140-141)
Imechapishwa: 26/03/2021
https://firqatunnajia.com/mtubiaji-amepata-chakula-wakati-wa-funga-yake/