Swali: Je, mtu ambaye ananukia vibaya anaacha kuswali swalah ya mkusanyiko?
Jibu: Ikiwa anawaudhi wale walio pembeni yake, aache kuswali swalah ya mkusanyiko. Badala yake aswali nyumbani kwake. Kadhalika ambaye amekula kitunguu saumu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemkataza mtu kama huyu kuingia msikitini.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-3-7-1439.mp3
- Imechapishwa: 17/11/2018
Swali: Je, mtu ambaye ananukia vibaya anaacha kuswali swalah ya mkusanyiko?
Jibu: Ikiwa anawaudhi wale walio pembeni yake, aache kuswali swalah ya mkusanyiko. Badala yake aswali nyumbani kwake. Kadhalika ambaye amekula kitunguu saumu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemkataza mtu kama huyu kuingia msikitini.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-3-7-1439.mp3
Imechapishwa: 17/11/2018
https://firqatunnajia.com/mtu-mwenye-kunukia-vibaya-msikitini/