163 – Nilimuuliza kuhusu mtu aliyepitwa na swalah yeye na watu wa nyumbani kwake. Je, anapaswa kuadhini?
Jibu: Hapana, ili asisababishe usumbufu, kwani tayari adhaana imeshatolewa kwa ajili ya swalah. Bali itatosha yeye kukimu tu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 72
- Imechapishwa: 28/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
163 – Nilimuuliza kuhusu mtu aliyepitwa na swalah yeye na watu wa nyumbani kwake. Je, anapaswa kuadhini?
Jibu: Hapana, ili asisababishe usumbufu, kwani tayari adhaana imeshatolewa kwa ajili ya swalah. Bali itatosha yeye kukimu tu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 72
Imechapishwa: 28/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/mtu-kutoa-adhaana-na-kukimu-nyumbani-kwake/