Swali: Vipi kuitwa ´Abdun-Nabiy na ´Aliy?
Jibu: Haijuzu kunasibisha kuwa ni mja wa asiyekuwa Allaah. Haijuzu. Haijuzu kuitwa ´Abdul-Ka´bah na ´Abdun-Nabiy kwa maafikiano ya waislamu. Haijuzu kuitwa hivo kwa maafikiano ya waislamu.
Swali: Je, ni lazima abadilishe jina lake?
Jibu: Ndiyo.
Swali: Je, alibadilishe pia ikiwa ni jina la baba yake?
Jibu: Hapana, yaliyopita hapana. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakubadilisha ´Abdul-Muttwalib wala ´Abdul-Manaaf.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24673/تحريم-التسمي-بـ-عبد-النبي-ووجوب-تغييره
- Imechapishwa: 23/11/2024
Swali: Vipi kuitwa ´Abdun-Nabiy na ´Aliy?
Jibu: Haijuzu kunasibisha kuwa ni mja wa asiyekuwa Allaah. Haijuzu. Haijuzu kuitwa ´Abdul-Ka´bah na ´Abdun-Nabiy kwa maafikiano ya waislamu. Haijuzu kuitwa hivo kwa maafikiano ya waislamu.
Swali: Je, ni lazima abadilishe jina lake?
Jibu: Ndiyo.
Swali: Je, alibadilishe pia ikiwa ni jina la baba yake?
Jibu: Hapana, yaliyopita hapana. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakubadilisha ´Abdul-Muttwalib wala ´Abdul-Manaaf.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24673/تحريم-التسمي-بـ-عبد-النبي-ووجوب-تغييره
Imechapishwa: 23/11/2024
https://firqatunnajia.com/mtu-kuitwa-abdun-nabiy-na-abdul-aliy/