Swali: Je, kumpa matumizi mfanyikazi wa kike kunaingia katika kuwapa matumizi familia na mtu anapata thawabu juu ya hilo ikiwa mfanyikazi huyo ni muhitaji?
Jibu: Kila tumizi, hata kama watakuwa wanyama, watumwa, mfanyikazi n.k. mtu anapewa ujira.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (01) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=190884#219018
- Imechapishwa: 28/01/2018
Swali: Je, kumpa matumizi mfanyikazi wa kike kunaingia katika kuwapa matumizi familia na mtu anapata thawabu juu ya hilo ikiwa mfanyikazi huyo ni muhitaji?
Jibu: Kila tumizi, hata kama watakuwa wanyama, watumwa, mfanyikazi n.k. mtu anapewa ujira.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (01) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=190884#219018
Imechapishwa: 28/01/2018
https://firqatunnajia.com/mtu-anapata-thawabu-kwa-kumhudumikia-mfanyikazi/