Swali: Wakati fulani huchezea ndevu zangu ambapo baadhi ya nywele zikaanguka. Je, ninapata dhambi kufanya hivo?
Jibu: Ndio. Kuanguka kwa nywele zilizokufa wakati wa kuoga na wakati wa kutawadha hakudhuru. Lakini haitakikani kwa mtu kukusudia kuchezea ndevu zake.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
- Imechapishwa: 27/09/2018
Swali: Wakati fulani huchezea ndevu zangu ambapo baadhi ya nywele zikaanguka. Je, ninapata dhambi kufanya hivo?
Jibu: Ndio. Kuanguka kwa nywele zilizokufa wakati wa kuoga na wakati wa kutawadha hakudhuru. Lakini haitakikani kwa mtu kukusudia kuchezea ndevu zake.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
Imechapishwa: 27/09/2018
https://firqatunnajia.com/mtu-anapata-dhambi-kwa-kupukuchika-kwa-ndevu-anapozichezea/