Swali: Wakati fulani huchezea ndevu zangu ambapo baadhi ya nywele zikaanguka. Je, ninapata dhambi kufanya hivo?
Jibu: Ndio. Kuanguka kwa nywele zilizokufa wakati wa kuoga na wakati wa kutawadha hakudhuru. Lakini haitakikani kwa mtu kukusudia kuchezea ndevu zake.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
- Imechapishwa: 27/09/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)