Swali: Nikinunua misahafu, vijitabu, vipeperushi au vitabu vya elimu na nikavitawanya inaingia katika Hadiyth isemayo:
“Anapofariki mwanaadamu hukatika matendo yake isipokuwa vitu vitatu; swadaqah yenye kuendea, elimu yenye kunufaika kwayo au mtoto mwema mwenye kumuombea”?
Jibu: Ndio, vinaingia humo. Ukinunua vitabu vyenye manufaa na ukavitawanya inaingia katika elimu yenye kunufaika kwayo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (35) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20-%208%20-%201%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Nikinunua misahafu, vijitabu, vipeperushi au vitabu vya elimu na nikavitawanya inaingia katika Hadiyth isemayo:
“Anapofariki mwanaadamu hukatika matendo yake isipokuwa vitu vitatu; swadaqah yenye kuendea, elimu yenye kunufaika kwayo au mtoto mwema mwenye kumuombea”?
Jibu: Ndio, vinaingia humo. Ukinunua vitabu vyenye manufaa na ukavitawanya inaingia katika elimu yenye kunufaika kwayo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (35) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20-%208%20-%201%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/mtu-ananufaika-baada-ya-kufa-kwa-vitabu-alivyoacha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)