Swali 19: Vipi kuhusu mtu ambaye haukumfikia ulinganizi duniani, hata hivyo alifanya shirki?
Jibu: Allaah ndiye atakayeamua cha kumfanya. Hukumu yake duniani ni mshirikina na Aakhirah atajaribiwa kama watu wa kipindi cha kukatika utume.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 34
- Imechapishwa: 24/07/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 19: Vipi kuhusu mtu ambaye haukumfikia ulinganizi duniani, hata hivyo alifanya shirki?
Jibu: Allaah ndiye atakayeamua cha kumfanya. Hukumu yake duniani ni mshirikina na Aakhirah atajaribiwa kama watu wa kipindi cha kukatika utume.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 34
Imechapishwa: 24/07/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/mtu-ambaye-hakufikiwa-na-ulinganizi-lakini-ameshirikisha/