Shaykh Muhammad bin Jamiyl Zaynuu: Allaah akujaze kheri kwa yale uliyofanya kwa ajili ya Uislamu na waislamu. Wewe ndiye ulikuwa sababu ya kuongozwa kwangu katika Salafiyyah. Hilo nalikumbuka daima na kukuombea du´aa.
al-Albaaniy: Allaah akujaze kheri na akubali kutoka kwako.
- Muhusika: Shaykh Muhammad bin Jamiyl Zaynuu
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Silsilat-ul-Hudaa wan-Nuur (915)
- Imechapishwa: 19/07/2020
Shaykh Muhammad bin Jamiyl Zaynuu: Allaah akujaze kheri kwa yale uliyofanya kwa ajili ya Uislamu na waislamu. Wewe ndiye ulikuwa sababu ya kuongozwa kwangu katika Salafiyyah. Hilo nalikumbuka daima na kukuombea du´aa.
al-Albaaniy: Allaah akujaze kheri na akubali kutoka kwako.
Muhusika: Shaykh Muhammad bin Jamiyl Zaynuu
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Silsilat-ul-Hudaa wan-Nuur (915)
Imechapishwa: 19/07/2020
https://firqatunnajia.com/mtu-ambaye-alimwongoza-zaynuu-katika-salafiyyah/