574 – Shaykh wetu amesema: Kinanyolewa kichwa cha mtoto wa kiume na hakinyolewi kichwa cha mtoto wa kike.
Nikamuuliza: Kusema kwamba sababu ya kunyolewa ni kuondoa madhara haimuhusu pia msichana?
Jibu: Shaykh wetu akanyamaza kidogo, kisha akasema: Allaah ndiye anajua zaidi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 214
- Imechapishwa: 06/06/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
574 – Shaykh wetu amesema: Kinanyolewa kichwa cha mtoto wa kiume na hakinyolewi kichwa cha mtoto wa kike.
Nikamuuliza: Kusema kwamba sababu ya kunyolewa ni kuondoa madhara haimuhusu pia msichana?
Jibu: Shaykh wetu akanyamaza kidogo, kisha akasema: Allaah ndiye anajua zaidi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 214
Imechapishwa: 06/06/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/mtoto-wa-kiume-tu-ndiye-anayenyolewa-tofauti-na-mtoto-wa-kike/