Swali: Kuna dalili ipi inayosema kuwa mwanaume ambaye bado hajabaleghe akizini hauliwi?
Jibu: Dalili ni Hadiyth inayosema:
“Kalamu imenyanyuliwa kwa watu aina tatu; aliyelala mpaka anapoamka, mtoto mpaka anapobaleghe na mwendawazimu mpaka anapopata akili.”[1]
Huyu kalamu imenyanyuliwa kwake. Hata hivyo anatakiwa kuadhibiwa.
[1] Abu Daawuud (4405) na Ahmad (1362). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”al-Irwaa’” (2/5).
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 251
- Imechapishwa: 10/03/2025
Swali: Kuna dalili ipi inayosema kuwa mwanaume ambaye bado hajabaleghe akizini hauliwi?
Jibu: Dalili ni Hadiyth inayosema:
“Kalamu imenyanyuliwa kwa watu aina tatu; aliyelala mpaka anapoamka, mtoto mpaka anapobaleghe na mwendawazimu mpaka anapopata akili.”[1]
Huyu kalamu imenyanyuliwa kwake. Hata hivyo anatakiwa kuadhibiwa.
[1] Abu Daawuud (4405) na Ahmad (1362). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”al-Irwaa’” (2/5).
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 251
Imechapishwa: 10/03/2025
https://firqatunnajia.com/mtoto-aliyezini-hauliwi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket