Swali: Afanye nini ambaye hakuweza kuwalisha masikini, kuacha huru mtumwa, kumvisha nguo wala kufunga?

Jibu: Asubiri. Wakati atapokuwa na uwezo wa kutoa kafara, atafanya hivo. Kafara itabaki katika dhimma yake; pindi atakapoweza, atatoa kafara.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
  • Imechapishwa: 28/06/2024