Swali: Afanye nini ambaye hakuweza kuwalisha masikini, kuacha huru mtumwa, kumvisha nguo wala kufunga?
Jibu: Asubiri. Wakati atapokuwa na uwezo wa kutoa kafara, atafanya hivo. Kafara itabaki katika dhimma yake; pindi atakapoweza, atatoa kafara.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 28/06/2024
Swali: Afanye nini ambaye hakuweza kuwalisha masikini, kuacha huru mtumwa, kumvisha nguo wala kufunga?
Jibu: Asubiri. Wakati atapokuwa na uwezo wa kutoa kafara, atafanya hivo. Kafara itabaki katika dhimma yake; pindi atakapoweza, atatoa kafara.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
Imechapishwa: 28/06/2024
https://firqatunnajia.com/mtoa-kafara-hana-uwezo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket