Swali: Nimesoma maneno ya mfikiriaji mmoja ambaye amesema ya kwamba leo hakuna kabisa jamii yoyote ya Kiislamu. Bali jamii zote ni za kipindi kabla ya kuja Uislamu (Jaahiliyyah).
Jibu: Haya ni madhehebu ya Khawaarij. Haya ni madhehebu na maoni ya Khawaarij. Huku ni kuwakufurisha waislamu wote na kwamba hakuna jamii ya Kiislamu. Haya ni maneno ya Khawaarij. Tunamuomba Allaah afya.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=oMoaMLGx4k0
- Imechapishwa: 25/11/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)