Swali: Inatokea wakati mwingine kunakuwa hakuna mtawala kwa muda mrefu kwa sababu ya mapinduzi. Inachukua muda mpaka kuwekwe mtawala. Inajuzu kubomoa makuba au makaburi katika kipindi cha muda huu?
Jibu: Hapana. Ukiyabomoa watajenga mazuri zaidi kuliko yale yaliyokuweko. Mtawala ndiye anatakiwa kuwakataza, si wewe. Hakuna yeyote awezae kupinzana na mtawala tofauti na wewe ambaye huenda hata wakakuua.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (59) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16543
- Imechapishwa: 18/09/2017
Swali: Inatokea wakati mwingine kunakuwa hakuna mtawala kwa muda mrefu kwa sababu ya mapinduzi. Inachukua muda mpaka kuwekwe mtawala. Inajuzu kubomoa makuba au makaburi katika kipindi cha muda huu?
Jibu: Hapana. Ukiyabomoa watajenga mazuri zaidi kuliko yale yaliyokuweko. Mtawala ndiye anatakiwa kuwakataza, si wewe. Hakuna yeyote awezae kupinzana na mtawala tofauti na wewe ambaye huenda hata wakakuua.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (59) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16543
Imechapishwa: 18/09/2017
https://firqatunnajia.com/mtawala-na-si-wewe-mwenye-kubomoa-makaburi/