Swali: Ikiwa watu wawili wanaswali katika safu ambapo mmoja wao akatoka katika safu na akabakia mmoja?
Jibu: Asogee mbele upande wa kuliani mwa imamu.
Swali: Ni wawili wanaoswali – Allaah akubariki – wanaoswali nyuma ya safu ambapo mmoja wao akatoka katika safu kwa ajili ya kukidhi haja yake na akabakia yule mwingine peke yake akiswali nyuma ya safu?
Jibu: Dhahiri ni kwamba atatafuta [mwenzie].
Swali: Ameshaleta Takbiyr na kuingia ndani ya safu?
Jibu: Allaah ndiye mjuzi zaidi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23794/ما-حكم-اثنين-يصليان-بالصف-فخرج-احدهما
- Imechapishwa: 04/05/2024
Swali: Ikiwa watu wawili wanaswali katika safu ambapo mmoja wao akatoka katika safu na akabakia mmoja?
Jibu: Asogee mbele upande wa kuliani mwa imamu.
Swali: Ni wawili wanaoswali – Allaah akubariki – wanaoswali nyuma ya safu ambapo mmoja wao akatoka katika safu kwa ajili ya kukidhi haja yake na akabakia yule mwingine peke yake akiswali nyuma ya safu?
Jibu: Dhahiri ni kwamba atatafuta [mwenzie].
Swali: Ameshaleta Takbiyr na kuingia ndani ya safu?
Jibu: Allaah ndiye mjuzi zaidi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23794/ما-حكم-اثنين-يصليان-بالصف-فخرج-احدهما
Imechapishwa: 04/05/2024
https://firqatunnajia.com/mswaliji-mmoja-ametoka-katika-safu-kumwacha-mwenzie-akiwa-peke-yake/