Swali 214: Vipi kuhusu anayepiga makofi kwa mzaha?
Jibu: Ikiwa ni kwa wingi basi swalah yake hubatilika, na ikiwa ni kidogo basi hapana; kama aina nyingine za mzaha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 90
- Imechapishwa: 01/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 214: Vipi kuhusu anayepiga makofi kwa mzaha?
Jibu: Ikiwa ni kwa wingi basi swalah yake hubatilika, na ikiwa ni kidogo basi hapana; kama aina nyingine za mzaha.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 90
Imechapishwa: 01/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/mswaliji-anayepiga-makofi-bila-sababu/