Swali: Baadhi ya waswaliji pindi kunaposomwa:
إِيَّاكَ نَعْبُدُ وَإِيَّاكَ نَسْتَعِينُ
“Hakika Wewe pekee ndiye tunakuabudu na Wewe pekee tunakuomba msaada.”[1]
Husema:
استعنا بالله
“Tumeomba msaada kwa Allaah.”
Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Kilichowekwa katika Shari´ah kwa maamuma ni wao kunyamaza kwa ajili ya imamu wao. Akimaliza al-Faatihah imamu aitikie “Aamiyn” na waswaliji pia waitikie “Aamiyn”. Aamiyn hii inamtosheleza na mtu kila kitu anachosema wakati imamu anaposoma al-Faatihah.
[1] 01:05
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 318
- Imechapishwa: 09/05/2020
Swali: Baadhi ya waswaliji pindi kunaposomwa:
إِيَّاكَ نَعْبُدُ وَإِيَّاكَ نَسْتَعِينُ
“Hakika Wewe pekee ndiye tunakuabudu na Wewe pekee tunakuomba msaada.”[1]
Husema:
استعنا بالله
“Tumeomba msaada kwa Allaah.”
Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Kilichowekwa katika Shari´ah kwa maamuma ni wao kunyamaza kwa ajili ya imamu wao. Akimaliza al-Faatihah imamu aitikie “Aamiyn” na waswaliji pia waitikie “Aamiyn”. Aamiyn hii inamtosheleza na mtu kila kitu anachosema wakati imamu anaposoma al-Faatihah.
[1] 01:05
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 318
Imechapishwa: 09/05/2020
https://firqatunnajia.com/mswaliji-anasema-tumeomba-msaada-kwa-allaah-nyuma-ya-imamu/